Polisi yatoa taarifa ya mwanaume kuokotwa Coco Beach na baadaye kufariki
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35, amekutwa kwenye mchanga wa ufukwe wa bahari akiwa hajitambui maeneo ya Coco Beach ...
Mwalimu Mkuu ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbakaji, kumlawiti mwanafunzi
Mahakama mkoani Mara imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela aliyekuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Masahunga, Wilayani Bunda, mkoani humo, Vicent Nkunguu, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la ...Trump: Nitakuwa mkarimu sana kwenye mazungumzo ya kibiashara na China
Donald Trump amesema anapanga kuwa mkarimu sana kwa China katika mazungumzo yoyote ya kibiashara, na kwamba ushuru wa forodha utapunguzwa endapo mataifa hayo mawili yatafikia makubaliano. Trump amesema kuwa ushuru wa bidhaa kutoka China utapunguzwa kwa ...Waziri Gwajima: Tutamhoji Mwijaku kuhusu sakata la mabinti wa vyuo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amesema mtu aliyetajwa kwa jina la Mwijaku kwenye video za mgogoro wa mabinti wa vyuo atahojiwa kwa mujibu wa sheria, na baada ya ...Mrithi wa Papa Francis anaweza kutoka Afrika?
Tetesi kuhusu mrithi wa Papa Francis zimeanza baada ya kifo chake, huku Kardinali Robert Sarah kutoka Guinea akitajwa kuwa miongoni mwa wanaopewa nafasi kubwa. Kuna uwezekano kuwa Papa ajaye atatoka katika maeneo kama Afrika, Italia, Sri ...Kapteni Ibrahim Traoré akoswa kupinduliwa
Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kuwa imefanikiwa kuzuia jaribio kubwa la mapinduzi dhidi ya kiongozi wake, Kapteni Ibrahim Traoré. Waziri wa Usalama, Mahamadou Sana amesema njama hiyo ilihusisha wanajeshi wa sasa na wastaafu, wakishirikiana ...Vodacom Yazindua Twende Butiama 2025 kwa Lengo la Kuboresha Elimu, Afya na Mazingira
Kwa miaka ishirini na tano, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuchochea maendeleo endelevu katika jamii. Msafara wa Twende Butiama wa mwaka 2025 kwa mara nyingine unadhaminiwa na Vodacom na litahusisha msafara wa umbali ...
Load More