Adaiwa kumuua mwanamke kikatili baada ya kumkataa mwaka 2016
Polisi katika eneo la Bomet Central nchini Kenya wanamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 28, anayeshukiwa kuhusika katika mauaji ya kikatili ya mwanamke mwenye umri wa miaka 45 kutokana na ...
Serikali yaahidi kushirikiana na wadau kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu itaendelea kufanya maboresho zaidi ya mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa sehemu salama zaidi ya uwekezaji. Ametoa ...Kafulila afafanua sababu za kukatika kwa umeme licha ya Bwawa la JNHPP kuelekea ukingoni
Licha ya zaidi ya asilimia 90 ya ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere kukamilika, tatizo la kukatika kwa umeme bado linaendelea kutajwa, ambapo changamoto za miundombinu ya usafirishaji na usambazaji zimetajwa kuwa zinaweza kuchangia kukatika ...Ushuru mpya wa Trump watikisa masoko ulimwenguni
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushuru mpya kwa bidhaa zote zinazoingia nchini humo, kiwango cha chini kikiwa asilimia 10, huku baadhi ya nchi zikikabiliwa na ushuru wa hadi asilimia 50. Umoja wa Ulaya utatozwa asilimia ...Auawa akimgombania mke wa mtu nyumbani kwa mwanamke
Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaume mwenye umri wa miaka 37 aliyeuawa huko North East Kadem, Wilaya ya Nyatike nchini Kenya kutokana na kumgombania mke wa mtu. Kulingana na Mkuu wa Eneo, Voshastar Akal uchunguzi ...Wizara ya Afya yatoa ufafanuzi mzazi aliyedai kubadilishiwa mtoto hospitalini
Kufuatia taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mama aliyejifungua kwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha kudai kubadilishiwa mtoto, Wizara ya Afya imemsimamisha kazi muuguzi aliyemhudumia ili kupisha uchunguzi. Taarifa iliyotolewa na ...Utafiti: Vinywaji vinne hatari zaidi kwa afya ya Moyo
Vinywaji vingi tunavyokunywa kila siku vinaweza kuwa na madhara makubwa kwa afya ya moyo wetu. Ingawa baadhi ya vinywaji huonekana kuwa na faida ya haraka, hasa kwa upande wa kuimarisha hali ya kiakili au kuongeza nguvu. ...
Load More