CTI yatoa wito wa hatua za haraka za Sera na Utekelezaji ili kulinda maisha na ...
Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) liliendesha warsha na wadau mbalimbali kujadili changamoto kubwa ya unywaji wa pombe haramu na hatarishi. Warsha hiyo iliwaunganisha wadau muhimu wa sekta ya viwanda, watunga ...
Baba aliyeua watoto wake watatu ahukumiwa miaka 150 jela
Mahakama Kuu ya Bomet nchini Kenya imemhukumu kifungo cha miaka 150 jela mwanaume aitwaye Benard Kipkemoi Kirui mwenye umri wa miaka 40 baada ya kupatikana na hatia ya kuwaua watoto wake watatu katika eneo la Lelaitich, ...Serikali: Trilioni 8.2 zimetumika kukopesha wanafunzi kwa kipindi cha miaka 20
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ((HESLB) imetumia shilingi trilioni 8.2 kugharamia wanafunzi tangu ilipoanzishwa ambapo takriban wanafunzi 830,000 wamenufaika na mfumo huo. Amesema hayo leo ...Zelensky: Wanajeshi 46,000 wa Ukraine wameuawa kwenye vita
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema anaamini zaidi ya wanajeshi 46,000 wa nchi hiyo wameuawa na wengine takriban 380,000 wamejeruhiwa tangu kuanza kwa vita dhidi ya Urusi February 24, 2022. Zelensky amekadiria pia kuwa makumi ya ...Nafasi 63 za Ajira Serikalini
POST: MSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT II)(RE-ADVERTISED) – 5 POST Employer: MDAs & LGAs More Details 2025-02-20 Login to Apply POST: MWALIMU DARAJA LA III C – (MUSIC PERFOMANCE)(RE-ADVERTISED) – 2 POST Employer: MDAs & LGAs More Details 2025-02-20 ...Majaliwa: Wagombea wetu wa Urais hawatakuwa na kazi kubwa Uchaguzi Mkuu 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea kujiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, huku akisisitiza kuwa wagombea wa chama hicho wataingia ...Waziri Mkuu asema CCM iko tayari kwa uchaguzi wa 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewahimiza wananchi wa Itilima mkoani Simiyu kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 huku ...
Load More