Mtanzania anaswa kwa uporaji wa magari ya kifahari nchini Kenya
Raia mmoja wa Tanzania, Pinieli Vavai Lemomo, amekuwa miongoni mwa watuhumiwa watatu waliofikishwa katika Mahakama ya Machakos nchini Kenya kwa tuhuma za uporaji wa kutumia nguvu wa magari katika Barabara ...
Aokota milioni 13 Makkah, azirudisha kwa mmiliki wake
Mwanamke mmoja kutoka Nigeria, anayefahamika kama Hajiya Zainab amepongezwa kwa kurudisha dola 5,000 [TZS milioni 13.5] alizoziokota katika Msikiti Mtakatifu wa Masjidul Haram, Makkah, na kuzirudisha kwa mmiliki wake raia wa Urusi. Kwa mujibu wa taarifa, ...Mwanamke aliyemuuza bintiye kwa mganga ahukumiwa kifungo cha maisha jela
Mwanamke aliyemteka na kumuuza binti yake wa miaka sita akiwa na washirika wake wawili nchini Afrika Kusini, amehukumiwa kifungo cha maisha jela. Racquel “Kelly” Smith (35), pamoja na mpenzi wake, Jacquen Appollis na rafiki yao, Steveno ...Amuua baba mkwe baada ya kuwaamulia ugomvi
Polisi katika eneo la Mukaa, Kaunti ya Makueni nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kufuatia tukio la kusikitisha ambapo mwanaume wa makamo anadaiwa kumuua baba mkwe wake na kumjeruhi vibaya mke wake wa zamani katika eneo la Kiou, ...Wezi wavunja kanisa, wanywa divai na kula mikate ya sakramenti
Taharuki imetanda miongoni mwa waumini wa Kanisa la Anglikana (ACK) St. Matthew’s Mutithi lililopo Kirinyaga, baada ya watu wasiojulikana kuvunja na kuiba mali ya kanisa, huku wakinywa divai ya madhabahuni na kula mikate ya sakramenti. Tukio ...Serikali yatangaza oparesheni dhidi ya wanaosambaza maudhui ya kumdhalilisha Rais
Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa ameliagiza Jeshi la Polisi kupitia Mkuu wa Jeshi hilo, IGP Camillus Wambura, kuhakikisha linaweka mikakati madhubuti ya kuwasaka na kuwachukulia hatua wanaotengeneza na kusambaza maudhui ya kumdhalilisha Rais Samia ...Majaliwa: Serikali itaendelea kuwaunganisha wafanyabiashara wa Kitanzania na mataifa mbalimbali
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Japan ili kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali zilizopo katika mataifa hayo. Amesema Serikali imekuwa ikifanya hivyo ...
Load More