Waziri wa Watoto ajiuzulu kwa kuzaa na mvulana wa miaka 16
Waziri wa Watoto wa Iceland, Ásthildur Lóa Thórsdóttir (58) amejiuzulu baada ya kukiri kuwa alizaa mtoto na mvulana wa miaka 16 akiwa na miaka 23, miaka 30 iliyopita. Kwa mujibu ...
Amnyonga na kumtupa kwenye shimo la choo mwanaye wa miezi 9 baada ya ugomvi na ...
Polisi nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa makamo anayedaiwa kumuua binti yake wa miezi tisa katika Soko la Ikanga, tarafa ya Mutomo, Kaunti ya Kitui, usiku wa Jumatano. Kwa mujibu wa Mkuu wa Eneo la Ikanga, Onesmus ...Waziri Ulega awasimamisha kazi wasimamizi wa mizani kupisha uchunguzi
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi kuwasimamisha kazi wasimamizi wote wa mizani waliokuwa zamu katika mizani zilizopo katika barabara kuu ya T1 inayoanzia Dar es Salaam – Zambia kupitia mpaka ...Binti wa miaka 15 ashikiliwa kwa kutoroka na mtoto wa mwajiri wake
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Christina Nashoni (15), mkazi wa Kijiji cha Malagarasi, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, kwa tuhuma za kujaribu kutorosha mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa miezi mitatu kutoka kwa mwajiri ...Serikali: Mikopo ya bilioni 82 imetolewa kwa wanawake, vijana na walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema katika mwaka wa Fedha 2024/25, Serikali imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 82.84 kwa vikundi 8,275 vya wanawake, ...Jeshi la Sudan linakaribia kudhibiti Ikulu
Televisheni ya taifa ya Sudan imeripoti kuwa Jeshi la Sudan liko karibu kuchukua udhibiti wa Ikulu ya Rais mjini Khartoum kutoka kwa vikosi vya Rapid Support Forces (RSF. Usiku wa Jumatano, mapigano makali yalizuka karibu na ...
Load More