PUMA ENERGY TANZANIA YAANDAA FUTARI KWA LENGO LA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA UMOJA
Kampuni ya Puma Energy Tanzania imeandaa futari maalum kwa wateja na washirika wake ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuimarisha mahusiano na kuonesha shukrani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. ...
Ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kusafirisha mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi. Mshtakiwa huyo alikamatwa Julai 30, ...Polisi: Tumeshtushwa na taarifa za mchungaji kutekwa
Jeshi la Polisi limesema limeshtushwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwa Mchungaji Yanick Mbombo Cele, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ametekwa na watu wasiojulikana jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ...Mkaguzi Mkenya akiri kuiba bilioni 1 nchini Marekani
Raia wa Kenya, Tobias Otieno (41) anakabiliwa na kifungo cha kati ya miaka minne hadi 12 jela nchini Marekani, baada ya kukiri kuiba zaidi ya dola 400,000 [TZS bilioni 1] za fedha za walipa kodi alipokuwa ...Epuka kula vyakula hivi wakati wa kufuturu/kufungua
Katika kipindi hiki ambapo Waislamu na Wakristo wako katika mfungo wa Ramadhan na Kwaresma, vyakula mbalimbali huandaliwa ili kutumika kwa ajili ya kufuturu/kufungua. Hata hivyo, wataalam wa afya wamewataka wananchi kuwa makini na aina ya vyakula ...Benki Ya Exim Imetangaza Washindi wa Kampeni ya ‘Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili’ na Kufanya ...
Benki ya Exim Tanzania imehitimisha rasmi kampeni yake ya ‘Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili’kwa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika katika tawi lake jipya la Ubungo. Kampeni hiyo, iliyodumu kwa miezi miwili, ililenga kuhamasisha matumizi ...
Load More








