Tanzania yatoa tahadhari kwa Watanzania waliopo Mashariki ya Kati
Serikali imetoa tahadhari kwa Watanzania wanaoishi au kusafiri katika eneo la Mashariki ya Kati, ikiwemo Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, Falme za Kiarabu (UAE) na Oman, ikiwataka kuepuka safari za kwenda ...
MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
Dar es Salaam. Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests Forum-MIF 2026) utakuwa jukwaa mahususi la kujadili, pamoja na mambo mengine, mikakati ...Serikali kuimarisha ushirikiano kati ya wawekezaji na wananchi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof.Kitila Mkumbo, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji pamoja na wananchi ili kuimarisha na kukuza uchumi wa Taifa, sambamba na kuinua kipato na ustawi ...Ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kusafirisha mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi. Mshtakiwa huyo alikamatwa Julai 30, ...Polisi: Tumeshtushwa na taarifa za mchungaji kutekwa
Jeshi la Polisi limesema limeshtushwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwa Mchungaji Yanick Mbombo Cele, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ametekwa na watu wasiojulikana jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ...Mkaguzi Mkenya akiri kuiba bilioni 1 nchini Marekani
Raia wa Kenya, Tobias Otieno (41) anakabiliwa na kifungo cha kati ya miaka minne hadi 12 jela nchini Marekani, baada ya kukiri kuiba zaidi ya dola 400,000 [TZS bilioni 1] za fedha za walipa kodi alipokuwa ...
Load More








