Tanzania yashika namba 4 Afrika kwa kuvutia uwekezaji sekta ya madini
Tanzania imeshika nafasi ya nne barani Afrika katika mvuto wa uwekezaji kwenye sekta ya madini, kulingana na tathmini ya kimataifa ya mwaka 2025 iliyotolewa na Fraser Institute. Kwa mujibu wa ...
Wastani wa kodi kwa Kaya nchini wafikia shilingi milioni 1.8 kwa mwaka
Makadirio yanaonesha kuwa wastani wa mzigo wa kodi kwa kaya nchini Tanzania umefikia takribani shilingi milioni 1.84 kwa mwaka, sawa na karibu shilingi 154,000 kwa mwezi kwa kuzingatia makadirio ya jumla ya mapato ya kodi ya ...Gwajima: Si rahisi kufikia usawa wa kijinsia bila mchango wa TANESCO
Kuelekea Siku ya Wanawake Dunia Machi 8,2026, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amesema siyo rahisi kufikia usawa wa kijinsia na mustakabali endelevu wa wanawake bila mchango wa TANESCO. ...CHADEMA Zanzibar yamkana Said Mohamed
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni yake binafsi pamoja na watu wanaomshawishi ...Rais Samia: Ushirikishwaji sekta binafsi umeongeza mapato na ufanisi wa Bandari
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uamuzi wa kuishirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari umeongeza kwa kiasi kikubwa mapato ya Serikali na kuboresha ufanisi wa utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa uwekaji wa jiwe la ...Tanzania yatoa tahadhari kwa Watanzania waliopo Mashariki ya Kati
Serikali imetoa tahadhari kwa Watanzania wanaoishi au kusafiri katika eneo la Mashariki ya Kati, ikiwemo Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, Falme za Kiarabu (UAE) na Oman, ikiwataka kuepuka safari za kwenda au kutoka katika kipindi hiki cha ...
Load More









