CHADEMA Zanzibar yamkana Said Mohamed
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni ...
PUMA ENERGY TANZANIA YAANDAA FUTARI KWA LENGO LA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA UMOJA
Kampuni ya Puma Energy Tanzania imeandaa futari maalum kwa wateja na washirika wake ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuimarisha mahusiano na kuonesha shukrani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mkusanyiko huo umewaleta pamoja wateja, wadau ...Raoma, Vodacom Wazindua Mfumo wa Kidijitali ‘SOMO’ Chini ya Kampeni ya Twende Zetu Darasani
Taasisi isiyo ya kiserikali ya RAOMA Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo wamezindua mfumo mpya wa kidijitali wa elimu unaoitwa SOMO, chini ya kampeni mpya ya Twende Zetu ...MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
Dar es Salaam. Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests Forum-MIF 2026) utakuwa jukwaa mahususi la kujadili, pamoja na mambo mengine, mikakati ...Serikali kuimarisha ushirikiano kati ya wawekezaji na wananchi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof.Kitila Mkumbo, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji pamoja na wananchi ili kuimarisha na kukuza uchumi wa Taifa, sambamba na kuinua kipato na ustawi ...Ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kusafirisha mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi. Mshtakiwa huyo alikamatwa Julai 30, ...
Load More








