Mjumbe maalum wa UN aipongeza Tanzania kwa juhudi za kurejesha amani
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Parfait Onanga Anyanga, ambaye ...
CHADEMA Zanzibar yamkana Said Mohamed
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni yake binafsi pamoja na watu wanaomshawishi ...Rais Samia: Ushirikishwaji sekta binafsi umeongeza mapato na ufanisi wa Bandari
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uamuzi wa kuishirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari umeongeza kwa kiasi kikubwa mapato ya Serikali na kuboresha ufanisi wa utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa uwekaji wa jiwe la ...Tanzania yatoa tahadhari kwa Watanzania waliopo Mashariki ya Kati
Serikali imetoa tahadhari kwa Watanzania wanaoishi au kusafiri katika eneo la Mashariki ya Kati, ikiwemo Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, Falme za Kiarabu (UAE) na Oman, ikiwataka kuepuka safari za kwenda au kutoka katika kipindi hiki cha ...Serikali yakanusha upotoshaji kuhusu uchunguzi Saratani ya Matiti
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa uchunguzi wa Saratani ya Matiti kwa kutumia ‘biopsia’ husababisha saratani kuenea. Baraza limefafanua kuwa, mtu anayeonekana kwenye video inayosambazwa si mtaalamu wa tiba asili ...PUMA ENERGY TANZANIA YAANDAA FUTARI KWA LENGO LA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA UMOJA
Kampuni ya Puma Energy Tanzania imeandaa futari maalum kwa wateja na washirika wake ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuimarisha mahusiano na kuonesha shukrani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mkusanyiko huo umewaleta pamoja wateja, wadau ...Raoma, Vodacom Wazindua Mfumo wa Kidijitali ‘SOMO’ Chini ya Kampeni ya Twende Zetu Darasani
Taasisi isiyo ya kiserikali ya RAOMA Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo wamezindua mfumo mpya wa kidijitali wa elimu unaoitwa SOMO, chini ya kampeni mpya ya Twende Zetu ...
Load More









