Nchi 6 Afrika zinazotarajiwa kuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu 2050

0
13

Nchi 6 Afrika zinazotarajiwa kuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu 2050

Kulingana na World Population Review, kampuni inayoangazia takwimu ya idadi ya watu, imebaini kuwa Nigeria iko njiani kuwa nchi ya tatu yenye watu wengi zaidi duniani.

Idadi ya watu nchini Nigeria inakadiriwa kuongezeka takribani watu milioni 377-410 ifikapo mwaka 2050, wakati Marekani itakuwa na takribani watu milioni 375-390.

Hizi ni nchi 6 za Afrika zinazotarajiwa kuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu mwaka 2050.

Nchi  Idadi ya watu kwa sasa                     Idadi ya watu 2050
Nigeria 218,540,000 377,460,000

 

DR Congo 99,010,000 217,490,000

 

Ethiopia

 

123,380,000 214,810,000
Tanzania

 

61,741,120 129,930,000
Misri

 

110,990,000 160,340,000
Niger

 

26,210,000 67,040,000

Chanzo: Business Insider Africa

Send this to a friend