Nchi 10 Afrika zenye bei kubwa zaidi ya mafuta kwa Novemba 2023

0
13

Barani Afrika, bei kubwa ya mafuta imegeuka kuwa changamoto kubwa inayokumba uchumi na maisha ya kila siku. Athari za bei hizi zinajitokeza katika maeneo mbalimbali, kuanzia gharama za usafiri hadi bei za bidhaa muhimu.

Zaidi ya hayo, sekta zinazotegemea nishati zinakumbana na pigo kubwa linapokuja suala la gharama za mafuta kuwa juu. Gharama za uzalishaji na usafirishaji zinaweza kudhoofisha ushindani wa viwanda vya ndani katika soko la kimataifa, na hivyo kufanya maisha ya raia kuwa magumu zaidi.

Nauli za daladala zapanda. Hizi ni nauli mpya zilizotangazwa na LATRA

Hii ni orodha ya nchi 10 za Kiafrika zenye bei ya juu zaidi ya mafuta mwezi Novemba;

1.        Jamhuri ya Afrika ya Kati: TZS 4,589

2.        Senegal: TZS 4,123

3.        Burundi: TZS 3,995

4.        Shelisheli: TZS 3,940

5.        Mauritius: TZS 3,922

6.        Zimbabwe: TZS 3,907

7.        Morocco: TZS 3,832

8.        Sierra Leone: TZS 3,817

9.        Malawi: TZS 3,762

10.      Rwanda: TZS 3,669

Send this to a friend