Afya
Serikali yakanusha upotoshaji kuhusu uchunguzi Saratani ya Matiti
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa uchunguzi wa Saratani ya Matiti kwa kutumia ‘biopsia’ husababisha saratani ...Epuka kula vyakula hivi wakati wa kufuturu/kufungua
Katika kipindi hiki ambapo Waislamu na Wakristo wako katika mfungo wa Ramadhan na Kwaresma, vyakula mbalimbali huandaliwa ili kutumika kwa ajili ya ...Utafiti mpya wabaini pombe haramu kugharimu Tanzania zaidi ya Shilingi Trilioni 1 na kuhatarisha afya ...
Pombe haramu zinaendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya wananchi, mapato ya Serikali na biashara halali nchini Tanzania. Utafiti mpya umebaini kuwa ...Mlipuko wa virusi vya Nipah India waibua hofu Asia
Baadhi ya nchi za Asia zimeanza kuchukua hatua za ukaguzi kwa wasafiri katika viwanja vya ndege na mipakani kufuatia mlipuko wa virusi ...Gharama ya Bima ya Afya kwa Wote ni shilingi 150,000 kwa kaya
Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote katika awamu ya kwanza. Katika awamu hiyo, kitita cha ...Wanaume wa Kinondoni waongoza kwa mabusha
Wanaume 127 kati ya 165 waliofanyiwa uchunguzi mkoani Dar es Salaam kuanzia Januari 05 hadi 08, mwaka huu, wamepatikana na ugonjwa wa ...








