Afya
Kwanini hupaswi kunywa pombe asubuhi?
Watu wengi wanajua kuwa kunywa pombe bila kula chakula ni hatari kwa afya, lakini wachache wanatambua kuwa si salama kuchanganya kifungua kinywa ...Wanafunzi zaidi ya 100 waumwa baada ya kula chakula chenye nyoka aliyekufa
Shirika la Haki za Binadamu nchini India linachunguza tukio la zaidi ya watoto 100 kuumwa baada ya kula chakula cha mchana shuleni ...Serikali: Hakuna Mtanzania hata mmoja atakayekosa huduma za VVU/UKIMWI
Serikali imesema kwa kutambua mabadiliko ya kisera kutoka kwa baadhi ya washirika wa muda mrefu wa masuala ya UKIMWI, serikali inachukua hatua ...Serikali: Watu 60,000 wanaambukizwa VVU kila mwaka
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kiwango cha maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi ni watu 60,000 kila mwaka, ambapo vijana wanaopata maambukizi ...Utafiti: Masalia ya ARV yabainika kwenye nyama ya kuku na nguruwe
Utafiti uliofanywa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) mwaka 2024, na kuchapishwa Machi 28, 2025 katika ...