Afya
Ulevi watajwa kuchangia kuziba kwa mishipa ya damu
Kaimu Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Moyo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma amesema mitindo ya maisha pamoja na matumizi ...Corona: CHADEMA yawaagiza wabunge wake kutohudhuria vikao vya bunge
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wabunge wake kusitisha mara moja kuhudhuria vikao vya bunge pamoja na kamati zake, ili kujikinga ...Afya: Mfahamu mgunduzi wa kipukusi (sanitizer) kinachookoa maisha ya watu
Katika mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona, moja njia inayopendekezwa ni matumizi ya vipukusi (sanitizers) ambavyo huua vijidudu. Lakini ...Pesa kidijitali: Njia nyingine kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya coronavirus
Toka kuingia kwa virusi vya coronavirus nchini njia mbalimbali zimechukuliwa na zinaendelea kuchukuliwa kuzuia kasi ya maambukizi.Taasisi za elimu zimefungwa, hoteli mbalimbali, ...Historia: Homa kali ya mafua ilivyoiathiri Afrika Mashariki mwaka 1918
Wakati duniani ikiendelea kukabiliana na janga la mlipuko wa homa ya mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona, historia inaonesha kuwa virusi ...Idadi ya waathirika wa corona Tanzania yafikia 480
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini ambapo amesema ...