Afya
Wanasayansi wa Uingereza kukamilisha chanjo ya Corona mwezi Septemba
Wakati jitihada mbalimbali zikiendelea kuchukuliwa kukabilia na mlipuko wa virusi vya corona, wanasayansi wameeleza kuwa chanjo ya virusi hivyo inaweza kuwa imepatikana ...Corona: Tanzania yazuia ndege kutua nchini kwa kipindi kisichojulikana
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imezuia ndege za abiria kutua nchini kuanzia Aprili 11 mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine ...Rais Magufuli asema mipaka haitafungwa, watu wachape kazi
Rais Magufuli amesisitiza kuwa Serikali imeamua kutowazuia watu ndani ya nyumba zao wala kufunga mipaka kwa kutambua madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kutokana ...Waziri Ummy Mwalimu: Corona inaweza kuambukizwa kwa njia ya hewa
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuwa tafiti mpya zinaonesha kuwa virusi vya corona vinaweza kuambukizwa hata kwa njia ya hewa, na ...