Afya
Marekani yapanga kusitisha ufadhili kwa Shirika la chanjo
Marekani inapanga kusitisha ufadhili wake kwa shirika la Utoaji wa Chanjo Duniani (GAVI) ikiwa ni sehemu ya juhudi za Rais Donald Trump ...Fahamu Mimea 10 hatari na isiyofaa kupandwa majumbani
Kupamba nyumba kwa mimea ni jambo linaloongeza mvuto na hali ya hewa safi. Hata hivyo, kuna baadhi ya mimea isiyofaa kupandwa majumbani ...WHO yasema zaidi ya milioni 10 wanaweza kuambukizwa HIV baada ya Marekani kusitisha misaada
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha uwezekano wa maambukizi mapya ya HIV zaidi ya milioni 10 na vifo vya watu milioni 3, ...Kulala chini ya saa 7 huchochea magonjwa ya moyo
Kulala ni moja ya mahitaji muhimu ya mwili, sawa na chakula na maji. Watu wengi wanadharau usingizi kwa sababu ya ratiba ngumu ...Serikali yatangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Marburg nchini
Wizara ya Afya imetangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Virusi vya Marburg (MVD) nchini . Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya imesema wagonjwa ...