Afya
Mwanaume aishi siku 100 akiwa na moyo bandia
Mwanaume mmoja wa Australia ameishi kwa siku 100 na moyo bandia wa titani wakati akisubiri upandikizaji wa moyo kutoka kwa mfadhili, na ...Serikaali yatoa mwongozo kwa wasafiri kufuatia uwepo wa Mpox nchini
Kufuatia serikali kutangaza uwepo wa ugonjwa wa Mpox nchini, Wizara ya Afya imesema imeanza kutekeleza afua za afya ili kuweza kuzuia kuenea ...Wawili wabainika kuwa na ugonjwa wa Mpox nchini
Wizara ya Afya imethibitisha uwepo wa wagonjwa wawili wenye maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox baada ya kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara. ...Utafiti waonesha vijana wa Kitanzania wanaongoza kwa ustahimilivu wa akili
Utafiti mpya wa Mental State of the World 2024, uliotolewa na Sapien Labs umebaini vijana wa Kitanzania wana ustahimilivu mkubwa wa kiakili ...Watu 12 waripotiwa kuambukizwa Ebola Uganda
Shirika la Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) limethibitisha ongezeko la visa 12 vya ugonjwa wa Ebola katika mikoa miwili tofauti nchini ...Serikali kuijenga upya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa trilioni 1
Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda ...