Afya
Vodacom Tanzania Foundation na JKCI Washirikiana Kupanua Huduma za Moyo kwa Watoto
Vodacom Tanzania kupitia asasi yake leo imesaini Makubaliano (MoU) na Heart Team Africa Foundation, asasi maalumu iliyoko chini ya Taasisi ya Moyo ...Muhimbili yakanusha kuwafuta kazi wafanyakazi 200
Hospitali ya Taifa Muhimbili imekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa imewafuta kazi wafanyakazi 200 kwa kuwa haina fedha za kuwalipa. Taarifa iliyotolewa na ...Mganga mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia kijana aitwaye Ally Juma Shaban (29) mganga wa tiba asilia na mkazi wa Makazi Mapya, Mlandizi ...Muhimbili: Wanaoruhusiwa kuchangia figo ni ndugu pekee
Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili imefafanua kuwa watu wanaoruhusiwa kuchangia figo ni ndugu wa karibu wa mgonjwa pekee, na uchangiaji huo ...Botswana yatangaza hali ya dharura kutokana na uhaba wa dawa
Rais wa Botswana, Duma Boko ametangaza hali ya dharura ya afya ya umma baada ya nchi hiyo kukabiliwa na uhaba wa dawa ...Utafiti: Watoto wanaotazama televisheni na simu kwa muda mrefu hatarini kupata magonjwa ya moyo
Watoto wanaotumia muda mwingi wakitazama skrini kama simu au televisheni wapo kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa ya moyo, matatizo ya metaboli ...








