Afya
Uganda yathibitisha uwepo wa ugonjwa wa Ebola jijini Kampala
Wizara ya Afya nchini Uganda imethibitisha kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola katika Mji mkuu Kampala, huku mgonjwa wa kwanza aliyethibitishwa akifariki kutokana ...Trump asitisha usambazaji dawa za VVU, malaria na kifua kikuu kwa nchi masikini
Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, ...Mganga Mkuu wa Serikali: Tusizushe taharuki juu ya ugonjwa wa Marburg
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt.Grace Magembe amewataka wananchi hususan wa Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera kutozusha taharuki na hofu na badala yake ...WHO yaipa Tanzania Bilioni 7.5 kukabiliana na Virusi vya Marburg nchini
Rais Samia Suluhu Hassan amesema baada ya kuwepo kwa uvumi kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Marburg katika mkoa wa Kagera, ...Kwanini ‘depression’ imekuwa tatizo kwa watu wengi?
Depression, au mfadhaiko wa akili, ni moja ya changamoto kubwa za afya ya akili zinazoathiri watu wengi ulimwenguni. Ingawa kila mtu anaweza ...Wakazi wa kijiji cha Italia waamriwa wasiugue
Meya wa kijiji cha Belcastro, Antonio Torchia, amewataka wakazi wa kijiji hicho cha kaskazini mwa Italia kuepuka kupata magonjwa yanayohitaji msaada wa ...