Afya
Aliyewazalisha wanawake wawili kwenye geti la zahanati ajengewa nyumba
Wananchi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamechukua jukumu la kumjengea nyumba mkunga wa jadi kama shukrani baada ya mkunga huyo kuwazalisha ...Dawa ya ‘Mkongo’ yapigwa marufuku
Mwenyeki wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Hamisi Malebo amesema baraza hilo limeifungia dawa inayoitwa ya Hensha maarufu Mkongo ...Zimbabwe yaruhusu bangi kuuzwa kwenye maduka ya dawa
Zimbabwe imeruhusu bidhaa za katani na bangi kuuzwa kwa mara ya kwanza kama sehemu ya dawa za ziada zinazotolewa kwa wagonjwa. Mamlaka ...Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka nchini
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema maambukizi ya UVIKO-19 yanaongezeka nchini hivyo ni vyema Watanzania wakajitokeza kupewa chanjo ili kupunguza makali ya ...Majaliwa aahidi kusimamia madai ya madereva na haki za waajiri
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inaendelea kusimamia madai ya madereva pamoja na haki za waajiri katika kutekeleza madai ya madereva ...Utafiti: Wanywaji wengi wa pombe Dar wanauzito kupitia kiasi
Utafiti wa hivi karibuni umeonesha kwamba asilimia 67.2 ya wakazi wa Dar es Salaam wana uzito kupita kiasi huku wengi wao wakiwa ...








