Afya
Ugonjwa wa Homa ya Nyani kubadilishwa jina
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema linafanya kazi na wataalamu kuibua jina jipya la ugonjwa wa homa ya nyani ‘Monkeypox’ ili kuepusha ...Alama 5 zitakazokuonesha kama bidhaa ni feki au halisi
Bidhaa za kughushi zimekuwa zikienea kila mahali na kupelekea watu kununua bidhaa zisizofaa na hata kuleta madhara ya kiafya. Hakuna anayetaka kulaghaiwa ...RC Mtwara atoa saa 48 mmiliki chapa Makonde ajisalimishe
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti ametoa saa 48 kwa mmiliki wa kiuatilifu cha Salfa ya unga chapa Makonde ...Namna ya kuzuia athari za mlipuko utokanao na gesi ya majumbani
Gesi ni nzuri kwa matumizi ya nyumbani, kwa sababu ni haraka zaidi kwa kupikia. Pamoja na uzuri wake, pia ni hatari kama ...Waziri Ummy: Kuna kila dalili kwamba UTI imekuwa sugu
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Serikali itafanya uchunguzi na matatibabu ya ugonjwa wa maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ambao bakteria ...Kisa kulewa haraka, TMDA kuchunguza vilevi vinavyowekwa kwenye shisha
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imewaagiza wamiliki wa kumbi za starehe na maeneo yote ...