Afya
Uchunguzi kufanyika mjamzito aliyefariki kwa kukosa fedha za kuweka mafuta gari la wagonjwa
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki ...Serikali kufuatilia utendaji wa watumishi wa afya kwa wagonjwa
Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema Serikali itaendelea kuhakikisha wauguzi, madaktari na watumishi wote wa Sekta ya Afya wanapata stahiki zao pamoja ...Tabia 7 unazopaswa kuepuka ili kulinda afya ya meno yako
Wengi wetu tunajua umuhimu wa kupiga mswaki na kutumia uzi wa meno, lakini je, unajua kuwa tabia kama kutafuna barafu, kutumia meno ...Mbinu za kufanya za kuweza kupandishwa cheo na kuongezwa mshahara
Ni ukweli hakuna ubishi kuwa kila mfanyakazi anatamani siku moja apandishwe cheo kazini na kuongezewa mshahara, hiyo ni ndoto ya kila mfanyakazi ...Fahamu kazi ya Tufaa la Adam inayoonekana zaidi kwa wanaume
Tufaa la Adam (Adam’s Apple), nundu inayoonekana shingoni hasa kwa wanaume, ambayo kitaalamu ni prominentia laryngea, kazi yake kuu ni kulinda kisanduku ...