Afya
Sheikh wa Mkoa ahukumiwa kifungo kwa kummwagia mwanamke maji ya moto
Mahakama ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemhukumu kwenda jela miezi sita au fani TZS 50,000 Sheikh wa Mkoa wa Katavi, Mashaka ...Serikali: Minara ya simu kwenye makazi haina madhara
Wizari ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema kuwa minara ya simu inayowekwa katika maeneo ya wananchi haina madhara yoyote kwani ...Amuua mkewe na kuchoma moto kaburi kwa madai ya kuambukizwa UKIMWI
Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara, Nicodemus Katembo amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo linamshikilia Shaibu Kuselela (58) kwa ...Mzee Mutasa aliyehitimu PhD akiwa na miaka 82, afariki dunia
Dkt. Samwel Mutasa, msomi aliyetimiza kiu yake ya kuhitimu Shahada ya Uzamivu mwaka 2020 akiwa na umri wa miaka 82, amefariki nchini ...Bilionea Roman Abramovich apewa ‘sumu’ akisuluhisha Urusi na Ukraine
Bilionea wa Urusi, Roman Abramovich ameshambuliwa na tatizo la kiafya lililoonesha dalili zinazoashiria huenda alipewa sumu akiwa kwenye mazungumzo ya kumaliza mgogoro ...Kamati: Chanzo cha uchafuzi Mto Mara ni tope lililotibuliwa na mvua
Uchunguzi wa kimaabara uliofanyika kwenye sampuli zilizochukuliwa katika maji ya Mto Mara umebainika kuwa chanzo kikuu cha kuchafuka kwa maji ya mto ...








