Afya
Sababu 8 zinazopelekea watu kufariki wakiwa usingizini
Kufariki usingizini mara nyingi huhusishwa na mshtuko wa ghafla wa moyo na moyo kupoteza utendaji wake unaohusishwa na kushindwa kwa moyo (CHF). ...Vinywaji 5 vinavyosababisha ngozi kuzeeka
Kila mtu anapenda kuonekana akiwa na ngozi nzuri yenye kupendeza. Hata hivyo, baadhi ya watu hawafahamu kuwa baadhi ya mazoea yanaweza kuwa ...Muuguzi aliyeshindwa kumsaidia mjamzito kujifungua asimamishwa kazi
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, Fred Milanzi amemsimamisha kazi muuguzi wa Zahanati ya Basanza, Alex Lyimo ili kupisha ...Ummy: Tatizo la jinsi mbili linatibika, msiwafiche watoto
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa wito kwa Watanzania kuacha tabia ya kuwaficha watoto wenye jinsi mbili bali wawapeleke hospitali ili waweze ...Korea yaipa Tanzania mkopo wa bilioni 427 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali Zanzibar
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Dola za Marekani milioni 163.6 [TZS bilioni ...Kwanini haishauriwi kula ndizi pekee kama kifungua kinywa?
Kifungua kinywa ni mlo muhimu unaoanzisha siku yako kwa kutoa nishati na virutubishi muhimu vinavyohitajika mwilini. Ingawa ndizi ni tunda lenye virutubishi ...