Afya
Rwanda yaruhusu kilimo cha bangi
Serikali ya Rwanda imeidhinisha kilimo cha bangi kwa ajili ya kusafirishwa nje ya nchi, lakini matumizi yake ndani ya nchi yameendelea kupigwa ...Singapore kuwalipa raia wake wanaofanya mazoezi
App Inc na serikali ya Singapore zimeingia makubaliano ya kushirikiana kwa miaka miwili katika mradi wa kiafya unaofahamika kama LumiHealth ambapo utakuwa ...Umoja wa Ulaya kuipa Tanzania TZS bilioni 70 za kupambana na COVID19
Umoja wa Ulaya (EU) umesema uko tayari kutoa Euro 27 milioni (TZS 70 bilioni) kwa serikali ya Tanzania kwa lengo la kusaidia ...Wazikaji waandamana Afrika Kusini, wagoma kuzika miili ya watu
Takribani wazikaji 3,000 wameandamana nchini Afrika Kusini wakitaka kulipwa vizuri pamoja na mazingira mazuri ya kufanya kazi yao. Wazikaji hao wamegoma kuchukua ...Corona: Daktari ashauri watu kutobusiana na kuvaa barakoa wakijamiiana
Daktari mwandamizi kutoka Canada amewashauri watu kutobusiana na wavae barakoa wanapojamiiana ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona vinavyoendelea kuisumbua dunia. Dkt. ...Afrika yatokomeza ugonjwa wa Polio
Afrika imepiga hatua kubwa katika sekta ya afya baada ya kufanikiwa kutokomeza ugonjwa wa polio, Nigeria ikiwa ni nchi ya mwisho kuwa ...