Afya
Tanzania yalitaarifu Shirika la Afya Duniani kuhusu kupungua kwa wagonjwa wa Covid-19
Tanzania imelieleza Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu mafanikio iliyoyapata kutokana na hatua ilizochukua kukabiliana na virusi vya corona, ikiwa ni pamoja ...Huduma ya pesa kwa njia ya simu inavyoweza kutusaidia kupunguza maambuki ya corona
Homa ya corona imetikisa kila kona ya dunia hivi sasa. Tanzania nako si kisiwa kwani napo visa vya maambukizi vilianza kupatikana kuanzia ...Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Tanzania na Kenya kuhusu madereva wa malori
Kufuatia majadiliano yaliyofanyika kati ya maafisa wa Tanzania na Kenya, pande hizo mbili zimefikia makubaliano kuwa utaifa wa madereva watakaokutwa na maambukizi ...Marekani yaipa Tanzania bilioni 5 kupambana na corona
Marekani imetangaza kuipatia Tanzania nyongeza ya $2.4 milioni (TZS 5.6 bilioni) kwa ajili ya kuwezesha mapambano dhidi ya maambukizi ya homa ya ...Shirika la Afya Duniani kuifanyia majaribio dawa ya corona ya Madagascar
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amesema kuwa Shirika la Afya Duniani (WHO) limekubali kuifanyia majaribio ya binadamu dawa inayoripotiwa kutibu corona inayozalishwa ...Korona: Sekta mbalimbali zinavyobadili sera za kiutendaji kulinda wafanyakazi na kupunguza maambukizi
Mlipuko wa homa ya kirusi cha corona umelazimisha sekta nyingi kutazama upya namna zinavyoendesha kazi zake. Katika juhudi za kupunguza maambukizi na ...