Afya
Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Tanzania na Kenya kuhusu madereva wa malori
Kufuatia majadiliano yaliyofanyika kati ya maafisa wa Tanzania na Kenya, pande hizo mbili zimefikia makubaliano kuwa utaifa wa madereva watakaokutwa na maambukizi ...Marekani yaipa Tanzania bilioni 5 kupambana na corona
Marekani imetangaza kuipatia Tanzania nyongeza ya $2.4 milioni (TZS 5.6 bilioni) kwa ajili ya kuwezesha mapambano dhidi ya maambukizi ya homa ya ...Shirika la Afya Duniani kuifanyia majaribio dawa ya corona ya Madagascar
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amesema kuwa Shirika la Afya Duniani (WHO) limekubali kuifanyia majaribio ya binadamu dawa inayoripotiwa kutibu corona inayozalishwa ...Korona: Sekta mbalimbali zinavyobadili sera za kiutendaji kulinda wafanyakazi na kupunguza maambukizi
Mlipuko wa homa ya kirusi cha corona umelazimisha sekta nyingi kutazama upya namna zinavyoendesha kazi zake. Katika juhudi za kupunguza maambukizi na ...Corona: TBS yataja mambo 7 ya kuzingatia kwa wazalishaji na watumiaji wa barakoa za vitambaa
Katika kuhakikisha wananchi wanakuwa salama wanapotumia vifaa kinga mbalimbali kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa ...Kampuni ya Marekani yatangaza mafaniko ya awali ya chanjo ya corona
Kampuni ya kibiolojia ya Marekani, Moderna, imeripoti matokeo chanya ya awali ya chanjo ya kukabliana na virusi vya corona kufuatia majaribio ya ...