Biashara
Pesa kidijitali: Njia nyingine kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya coronavirus
Toka kuingia kwa virusi vya coronavirus nchini njia mbalimbali zimechukuliwa na zinaendelea kuchukuliwa kuzuia kasi ya maambukizi.Taasisi za elimu zimefungwa, hoteli mbalimbali, ...Corona: ATCL kutumia ndege zake kubeba mizigo
Katika kukabiliana na changamoto za kibiashara zinazosababishwa na mlipuko wa virusi vya corona, Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) inatarajia kuanza kutumia ...Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN ...
Dar es Salaam: 14 Aprili, 2020. Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa ...Vodacom Tanzania Foundation yachangia TZS Bilioni 2 kusaidia juhudi za serikali kupambana na COVID – ...
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imechangia kiasi cha shilingi Bilioni 2 kwaajili ya kuunga mkono jitihada za serikali katika kupambana na kusambaa ...Kirusi cha corona kinavyobadili namna tufanyavyo biashara
Na Mwanaheri Khamis, Unguja 17.04.2020 Tangu nchi za bara Afrika kuanza kutangaza visa vya wagonjwa wa kirusi cha homa ya corona, shughuli ...Waziri Bashungwa: Tanzania hakuna upungufu wa sukari
Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari hivyo hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile. Waziri wa Viwanda na Biashara, ...