Biashara
Tanzania yaondoa zuio la kuingiza mazao nchini kwa Afrika Kusini na Malawi
Wizara ya Kilimo imetangaza kuondoa mazuio yote yaliyowekwa kwa nchi za Afrika Kusini na Malawi ya kuingiza mazao nchini kufuatia majadiliano yanayoendelea ...Tanzania yatangaza kusitisha uingizaji wa bidhaa kutoka Malawi na Afrika Kusini iwapo hazitaondoa vikwazo
Serikali imetangaza kuwa itazuia uingizaji wa mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini kufikia siku ya Jumatano ijayo, ...Waziri wa Mawasiliano Afrika Kusini ashutumiwa kwa kujaribu kubadilisha sheria ya umiliki kwa kampuni ya ...
Mwanasiasa mwandamizi wa Afrika Kusini amemtuhumu Waziri wa Mawasiliano, Solly Malatsi, kwa kujaribu kulegeza sheria za umiliki wa ndani za nchi hiyo ...Trump atishia kuiongezea China ushuru mwingine wa asilimia 50
Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kuiwekea China ushuru wa ziada wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa Marekani ikiwa haitafuta ushuru wake ...Serikali yaahidi kushirikiana na wadau kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu itaendelea kufanya maboresho zaidi ya mazingira ya ...Ushuru mpya wa Trump watikisa masoko ulimwenguni
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushuru mpya kwa bidhaa zote zinazoingia nchini humo, kiwango cha chini kikiwa asilimia 10, huku baadhi ...








