Biashara
Kenya yazuia matangazo ya kamari kwa siku 30
Bodi ya Kudhibiti na Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini Kenya (BCLB) imetoa agizo la kusitisha matangazo yote ya kamari na michezo ya ...Wafanyabiashara wa jengo lililoanguka Kariakoo wafungua kesi kudai fidia
Takriban Wafanyabiashara 50 wa ghorofa lililoanguka Kariakoo mwishoni mwa mwaka 2024 wamefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam ...Rais: Uanzishwaji wa Benki ya Ushirika Tanzania ni utekelezaji wa wazo la muda mrefu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema uanzishwaji wa Benki ya Ushirika Tanzania ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi na ...Tanzania yaondoa zuio la kuingiza mazao nchini kwa Afrika Kusini na Malawi
Wizara ya Kilimo imetangaza kuondoa mazuio yote yaliyowekwa kwa nchi za Afrika Kusini na Malawi ya kuingiza mazao nchini kufuatia majadiliano yanayoendelea ...Tanzania yatangaza kusitisha uingizaji wa bidhaa kutoka Malawi na Afrika Kusini iwapo hazitaondoa vikwazo
Serikali imetangaza kuwa itazuia uingizaji wa mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini kufikia siku ya Jumatano ijayo, ...Waziri wa Mawasiliano Afrika Kusini ashutumiwa kwa kujaribu kubadilisha sheria ya umiliki kwa kampuni ya ...
Mwanasiasa mwandamizi wa Afrika Kusini amemtuhumu Waziri wa Mawasiliano, Solly Malatsi, kwa kujaribu kulegeza sheria za umiliki wa ndani za nchi hiyo ...