Biashara
EWURA yavifungia vituo vingine vitatu vya mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imevifungia vituo vitatu vya mafuta kwa muda wa miezi sita baada ya ...Bei ya mafuta Kenya yazidi kupanda
Bei ya mafuta nchini Kenya inaendelea kuongezeka, hii ni kulingana na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli (EPRA) ambayo imefanya marekebisho ...Ufaransa yapiga marufuku iPhone 12
Mamlaka nchini Ufaransa imeagiza kampuni ya teknolojia ya Apple kuacha kuuza simu ya iPhone 12 kutokana na viwango vya mionzi kuwa juu ...BoT: Unaporudishiwa fedha chakavu usikatae
Kufuatia kuwepo kwa mivutano katika huduma mbalimbali za umma pindi mwananchi anaporudishiwa pesa iliyo chakavu, Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeshauri wananchi ...Majaliwa amuagiza Naibu Waziri Mkuu kushughulikia upatikanaji wa mafuta
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko kushughulikia suala la upatikanaji wa nishati ya mafuta nchini ili Watanzania wafikiwe ...Soma hapa msimamo ACT Wazalendo kuhusu makubaliano kati ya Tanzania na Dubai
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/09/Msimamo-wa-ACT-Wazalendo-SAKATA-LA-BANDARI-Na-Mapendekezo-1.pdf” title=”Msimamo wa ACT Wazalendo SAKATA LA BANDARI Na Mapendekezo (1)”]