Biashara
Rais Samia awasihi wachimbaji madini kutumia masoko ya ndani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema wachimbaji wa madini watakaouza dhahabu zao katika viwanda vya kusafisha dhahabu vilivyoko nchini watapata punguzo la asilimia ...Chalamila: Uchunguzi umebaini moto Kariakoo ni hujuma za wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kamati aliyoiundwa kuchunguza chanzo cha moto eneo la Mnadani, Kariakoo imebaini moto ...Akamatwa kwa kuigiza ana mshituko wa moyo ili asilipe bili mgahawani
Raia wa Lithunia, Aidas J mwenye umri wa miaka 50 amekamatwa nchini Uhispania kwa madai ya kuigiza amepatwa na mshtuko wa moyo ...Biashara 5 ambazo hupaswi kufanya ukiwa na mtaji mdogo
Kuanza biashara na mtaji mdogo inaweza kuwa changamoto kutokana na aina ya biashara unayopanga kufanya. Hata hivyo, kuna baadhi ya biashara ambazo ...Bei mpya za mafuta nchi nzima kwa Oktoba 2023
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/10/Bei-kikomo-za-mafuta-ya-petroli-kuanzia-4.6.2023.pdf”]Tanzania kuuza sukari nje ya nchi miaka miwili ijayo
Serikali imesema Tanzania inatazamiwa kuanza kuuza sukari nje ya nchi ndani ya miaka miwili ijayo kutokana na jitihada mbalimbali za uzalishaji zinazofanywa ...