Biashara
Zambia na Falme za Kiarabu zasaini makubaliano ya uchimbaji madini
Zambia imesaini makubaliano kadhaa ya ushirikiano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika hafla iliyofanyika Ikulu ya nchi hiyo na kuhudhuriwa ...Malawi yakabiliwa na uhaba wa mafuta, nauli zapanda
Malawi inakabiliwa na uhaba wa mafuta unaopelekea misururu mirefu ya magari katika vituo vya mafuta yanayosubiri kwa saa kadhaa na wakati mwingine ...Afrika Kusini kubinafsisha shughuli za bandari kwa kampuni ya Ufilipino
Afrika Kusini inakusudia kubinafsisha shughuli za bandari katika mpango wa muda mrefu ili kuboresha shughuli na kuongeza ufanisi kutokana na bandari hizo ...UAE yaingia makubaliano na DR Congo katika uchimbaji wa madini
Ujumbe wa maafisa wa Umoja wa Falme za Kiarabu umesaini mkataba wa ushirikiano wenye thamani ya dola bilioni 1.9 [TZS trilioni 4.6] ...Ndege za ATCL hatarini kukamatwa
Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kimeiamuru Tanzania kulipa dola milioni 109.5 [TZS bilioni 266] kwa kampuni za ...India na UAE zaingia makubaliano ya kutumia fedha ya India katika biashara
India na Umoja wa Falme za Kiarabu wameingia makubaliano ambayo yanaruhusu biashara kati ya nchi hizo mbili kufanyika kwa kutumia sarafu ya ...