Biashara
Waziri Mkuu: Rais Samia ana lengo la kuwawekea mazingira bora wafanyabiashara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ina lengo la kuwawezesha na kuwasimamia ...Serikali yaunda tume kushughulikia changamoto za wafanyabiashara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameunda tume yenye watu 14 saba kutoka Serikalini na wengine wakiwa ni wafanyabiashara kutoka sehemu mbalimbali nchini ambao ...Mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo aomba msaada wa polisi wanaohamasisha mgomo
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Kariakoo, Martin Mbwana amesema mgomo unaoendela kwa wafanyabiashara wa Soko hilo unasababishwa na kikundi cha watu wachache wenye maslahi ...Waziri Mkuu: Rais Samia anataka kuona biashara zinafanywa kwa uhuru
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema lengo la Rais Samia Suluhu Hassan ni kuona kila mfanyabiashara nchini anafanya shughuli zake kwa uhuru na ...Waziri Mkuu aiagiza TRA kusitisha kikosi kazi cha kukusanya kodi Kariakoo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kusitisha mara moja utaratibu wa kikosi kazi (Task Force) kwenye makusanyo ya ...TRA: Ukamataji unafanyika tunapofanya ukaguzi kujiridhisha
Kufuatia malalamiko yanayotolewa na wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kuhusu kamata kamata inayofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), mamlaka imeeleza kuwa ...