Biashara
Teknolojia ya kidigitali kuleta mapinduzi ya elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara
Teknolojia za kidigitali na uunganishwaji ni ufunguo wa kuwawezesha vijana wa Afrika kuonyesha uwezo wao. Kwa kuwafungulia milango ya fursa kwa vijana ...Rais Samia apongezwa kwa kukuza biashara na uwekezaji
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Dkt. Godwill Wanga amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha mazingira ya biashara ...NMB, Agricom kukopesha wakulima Matrekta, Zana, Pembejeo za Kilimo
NA MWANDISHI WETU, DAR Katika kukuza mchango wa Sekta ya Kilimo kwa Pato la Taifa na kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo kwa ...Waziri Mkuu: Hatuwezi kutoa umiliki wa bandari kwa kampuni yoyote
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ndiyo iliyopewa mamlaka na haki ya umiliki wa maeneo yote ya bandari ...Wateja wa TotalEnergies kurudishiwa 10% kupitia ushirikiano na LIPA KWA M-PESA
Dar es Salaam – Juni 21, 2023. Kupitia dhamira ya kuendeleza mfumo wa maisha wa kutotumia pesa taslimu nchini, huduma ya M-Pesa ...Rais Samia awapa Machinga kiwanja na milioni 10 kujenga ofisi
Shirikisho la Umoja wa Machinga wilayani Kahama mkoani Shinyanga limekabidhiwa kiwanja chenye hatimiliki pamoja na TZS milioni 10 ambazo zimetolewa na Rais ...