Biashara
Mavunde azindua rasmi Programu ya ‘Kijanisha Maisha’
Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali katika kufanya mageuzi yanayolenga kuongeza tija katika uzalishaji kwa kuboresha miundombinu ya kilimo Pamoja na teknolojia katika ...TBS kukichukulia hatua kiwanda kinachozalisha Safari Premium Tea
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema hatua stahiki zitachukuliwa juu ya kiwanda cha Afri Tea and Coffee Blenders kinachozalisha bidhaa ya Safari ...Precision Air: Ndege haikufika Dodoma, kulikuwa na tatizo la injini
Kampuni ya ndege ya Precision Air limesema ndege aina ya PW 600 imeshindwa kufika Uwanja wa Ndege wa Dodoma, na hivyo kurejea ...Polisi yaeleza chanzo cha vurugu za Machinga jijini Mwanza
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limesema vurugu zilizojitokeza jijini humo Jumatano Februari 08, 2023 zikiwahusisha wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu ‘Machinga’ zilitokana na ...Burudika na Cashout ya Parimatch
Na Mwandishi wetu. Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeendelea kuwanufaisha wateja wake wote kwa kuwapa fursa zenye faida kubwa, ambapo kwa ...Waziri: Ndizi zilizokamatwa Zanzibar ziliingizwa kimagendo
Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Mifugo na Biashara wa Zanzibar, Shamata Shaame Khamis ametoa ufafanuzi juu ya tukio la mfanyabiashara, Veronica Mwanjala kutaifishwa ...