Biashara
Miradi ya UVIKO19 ilivyowatoa vijana mitaani na kuwapa ajira
Utekelezaji wa miradi mbalimbali kupitia fedha za UVIKO19 kwa kutumia mafundi wa ndani hasa wanaoshi eneo ambako mradi unafanyika limepongezwa na wananchi ...Chaneli 15 za YouTube zinazoongoza kwa kutazwa Tanzania
Mtandao wa YouTube si tu umekuwa sehemu ya watu kujiburudisha na kupata ujuzi kuhusu mambo mbalimbali, bali pia umekuwa chanzo cha fedha ...Serikali yatangaza kupungua makali ya mgao wa umeme
Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato amesema kuwa magao wa umeme mkubwa na mkali waliokuwa wanatarajia ungekuwepo, hautakuwepo tena. Amesema hayo akitoa ...Uledi Mussa ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TRA
Rais Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kwa kipindi cha ...Precision Air yarejesha safari za Dar – Tabora
Shirika la ndege la kitanzania, Precision Air limerejesha safari zake za Dar es Salaam – Tabora rasmi kuanzia leo Januari 31, 2022 ...Rais Samia ateua viongozi wapya TTCL, TANTRADE na Tume ya TEHAMA
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Ulingeta Mbamba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara ...