Biashara
Uganda: ‘Influencers’ kwenye mitandao ya kijamii kutozwa kodi
Mamlaka ya Mapato Uganda (URA) inatarajia ifikapo Juni 1, 2022 itakuwa na sera ya miamala ya kibishara inayofanyika kupitia intaneti, kama vile ...Isome hapa mikataba sita iliyosainiwa kati ya Tanzania na Ufaransa
Serikali za Tanzania na Ufaransa zimetia saini jumla ya mikataba sita ya makubaliano kwa nia ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi hizo ...Serikali yafungulia magazeti manne yaliyokuwa yamefungiwa
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametoa leseni kwa magazeti manne yaliyokuwa yamefungiwa, ambayo ni Mwanahalisi, Mseto, Tanzania ...Shirika la Fedha la Kimataifa kuwasaidia Wamachinga na Wanawake waliopo sekta binafsi
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (International Finance Cooperation – IFC), Makhtar Sop Diop amemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kwamba ...Miradi ya UVIKO19 ilivyowatoa vijana mitaani na kuwapa ajira
Utekelezaji wa miradi mbalimbali kupitia fedha za UVIKO19 kwa kutumia mafundi wa ndani hasa wanaoshi eneo ambako mradi unafanyika limepongezwa na wananchi ...