Biashara
iPhone 13 Pro yadukuliwa na wadukuzi wa China
Tangu serikali ya China ilipopiga marufuku watafiti wa masuala ya usalama kushiriki kwenye mashindano ya kimataifa kama Pwn2Own, mashindano ya Tianfu yanayofanyika ...Dereva Bodaboda arejesha milioni 115 alizookota
Dereva bodaboda nchini Liberia amezua gumzo baada ya kupata na kurejesha $50,000 (TZS milioni 115) za mfanyabiashara mwanamke zilizopotea katika Jimbo la ...Mwanamuziki ajitoa tuzo za AFRIMMA baada ya kushambuliwa kwa kupigia kampeni chama tawala
Mwanamuziki kutoka Zambia, Slapdee amejitoa kwenye kuwania tuzo za muziki baada ya kushambuliwa na mashabiki kutokana na kutumbuiza kwa kilichokuwa chama tawala ...Makinikia sasa kutosafirishwa nje ya Tanzania
Serikali imesema kuwa imekubaliana na kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Barrick (Barrick Gold Corporation) kwamba makinikia yote yatachakatwa hapa nchini badala ya ...Wakulima Lindi wakataa kuuza korosho zao
Wakulima wa korosho katika Kata ya Nachunyu, Halmashauri ya Mtama mkoani Lindi wamekataa kuuza korosho zao (tani 1895.6) kutokana na kutoridhika na ...