Biashara
Isome hapa mikataba sita iliyosainiwa kati ya Tanzania na Ufaransa
Serikali za Tanzania na Ufaransa zimetia saini jumla ya mikataba sita ya makubaliano kwa nia ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi hizo ...Serikali yafungulia magazeti manne yaliyokuwa yamefungiwa
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametoa leseni kwa magazeti manne yaliyokuwa yamefungiwa, ambayo ni Mwanahalisi, Mseto, Tanzania ...Shirika la Fedha la Kimataifa kuwasaidia Wamachinga na Wanawake waliopo sekta binafsi
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (International Finance Cooperation – IFC), Makhtar Sop Diop amemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kwamba ...Miradi ya UVIKO19 ilivyowatoa vijana mitaani na kuwapa ajira
Utekelezaji wa miradi mbalimbali kupitia fedha za UVIKO19 kwa kutumia mafundi wa ndani hasa wanaoshi eneo ambako mradi unafanyika limepongezwa na wananchi ...Chaneli 15 za YouTube zinazoongoza kwa kutazwa Tanzania
Mtandao wa YouTube si tu umekuwa sehemu ya watu kujiburudisha na kupata ujuzi kuhusu mambo mbalimbali, bali pia umekuwa chanzo cha fedha ...Serikali yatangaza kupungua makali ya mgao wa umeme
Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato amesema kuwa magao wa umeme mkubwa na mkali waliokuwa wanatarajia ungekuwepo, hautakuwepo tena. Amesema hayo akitoa ...









