Biashara
Benki ya Dunia yataja maeneo 4 inayotaka kushirikiana na Tanzania
Benki Dunia (WB) imesema ipo tayari kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika ununuzi, usafirishaji na utoaji elimu ya UVIKO 19 kwa jamii ...Serikali kupitia kodi kwenye taasisi za kidini
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inafanya tathmini kwenye taasisi za kidini ili kubaini zinazofanya biashara elimu na afya na ...TANESCO: Wajamaa na Dunia Mpya ya Biashara
Na Ezekiel Kamwaga TANESCO ni shirika la huduma lakini pia ni shirika la kibiashara. Ndio maana kila mwaka linakaguliwa mahesabu na ripoti ...Bosi Tigo aandika barua polisi kuomba pasi yake ya kusafiria
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tigo Tanzania anayeelekea kumaliza muda wake, Simon Karikari ameliandikia barua Jeshi la Polisi akiliomba kumrudishia pasi yake ...Rais Samia ashangazwa masoko kujengwa mbali na makazi ya watu
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kushangazwa na masoko kujengwa mbali na makazi ya wananchi, jambo alilotafsiri kwamba ni kukosekana kwa ushirikishwaji wa ...