Biashara
DAR: Machinga wapewa siku 7 kuondoa biashara barabarani
Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametoa muda wa siku saba wafanyabiashara ndogo wanaofanya biashara kwenye njia ...ATCL yazindua ulipaji wa nauli kidogo kidogo (Kibubu)
Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imeanzisha uataratibu wa kulipia nauli kwa njia ya ‘Kibubu,’ ambapo mwananchi atalipa nauli kidogo kidogo hadi ...Bosi Tigo ‘akataa’ kuongeza mkataba
Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Tigo Tanzania, Simon Karikari anatarajia kuondoka kwenye kampuni hiyo kufuatia kuamua kutoongeza mkataba, pindi mkataba wake wa ...Kwanini Royal Tour imekuja Tanzania wakati sahihi
Kwa siku kadhaa sasa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekuwa akizunguka katika mikoa mbalimbali na timu ya watalaamu kuandaa makala (documentary) ...Spika Ndugai ashangazwa na tozo mpya kwa wakulima
Spika wa Bunge, Job Ndugai ameeleza kushtushwa kupitishwa kwa sheria inayomtaka mkulima kulima ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa Mamlaka ya ...Kamati iliyoundwa kupitia tozo zilizopo kwenye mafuta
Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuchunguza upandaji wa bei za mafuta tayari imeshaanza kazi na imepewa siku 14 (hadi Septemba ...