Biashara
Vyombo vya habari kuwalipa wasanii kuanzia Desemba
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema kanuni zinazohusu mirabaha kwa kazi ya sanaa sio ...Ufafanuzi wa TRA ulipaji kodi ya majengo (kwa mita za umeme) kwa wapangaji
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa kodi ya majengo kwa njia ya ununuzi wa umeme ambayo itaanza kutumika Agosti 20, 2021 ...Serikali: Kuna ziada ya sukari nchini, hatutaoa vibali vya kuagiza nje
Serikali imesema kuwa itasimamia sheria na taratibu ilizojiwekea kwenye usimamizi wa mazao mbalimbali ikiwemo miwa, hivyo haitatoa kibali kwa wafanyabiashara wa sukari ...Mwekezaji wa Misri aahidi kuleta wawekezaji 50 nchini
Rais na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Elsewedy Electric kutoka nchini Misri, Mhandisi Ahmed El Sewedy ameahidi kuwa katika kipindi cha miaka ...Dereva wa Bolt ajivunia mafanikio yake
Na Mwandishi Wetu Fabian Shao (32) anasema kuwa baada ya kuacha kazi ya udereva katika shirika moja la kimataifa na kuamua kujiajiri ...Mtanzania ateuliwa kuongoza Benki ya Dunia Cambodia
Benki ya Dunia (WB) imemteua Mtanzania, Maryam Salim kuwa mwakilishi wa benki hiyo (Country Manager) nchini Cambodia. Bi. Salim anachukua nafasi ya ...