Biashara
Dar: Wafanyabiashara waliojenga vibanda katikati ya jiji watakiwa kuviondoa
Halamshauri ya Jiji la Dar es salaam imewataka wafanyabiashara waliojenga vibanda katikati ya jiji kuviondoa. Hayo yamejiri leo jijini Dar es salaam ...Kenya yaondoa sharti la vibali vya biashara kwa Watanzania
Serikali ya Kenya imewaruhusu Wafanyabiashara wa Tanzania kuingia nchini Kenya na kuwekeza bila sharti la kuwa na viza ya biashara, ikiwa ni ...Jafo aagiza kukamatwa mfanyabiashara aliyetelekeza makontena bandarini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo ameagiza kukamatwa kwa Kaissy, Mkurugenzi wa Kampuni ya Seif ...Wakamatwa wakidaiwa kuuza mishikaki ya nyama ya Mbwa Msamvu
Waswali husema, ukimchungaza sana bata hutamla, lakini wakati mwingine ni heri uchungeze ili ujue unachokula ni nini. Watu watatu wamekamatwa baada ya ...Tunzaa yazindua App ya kuimarisha tabia za kifedha kwa wanunuaji na wauzaji wa huduma na ...
Kigamboni, Dar es salaam/Aprili 20, 2021 – Tunzaa yatangaza kuzindua jukwaa lake jipya la kukuza tabia chanya za matumizi ya kifedha kwa ...