Biashara
Maelekezo ya EWURA kuhusu bei za gesi za majumbani (LPG)
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesitisha mara moja upandishwaji wa bei za gesi ya kupikia majumbani (LPG) ...Mo Dewji: Siwekezi Simba ili nipate faida
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, Mohammed Dewji amesema kuwa uwekezaji anaofanya katika klabu hiyo si ili apate faida, bali ni ...Mwigulu awataka wafanyabiashara waliokimbilia Zambia kurejea, aahidi mwafaka
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara wa Tanzania waliokimbilia Nakonde nchini Zambia kurejea na kufanyabiashara nchini na kuwahakikishia ...Masauni: Tozo za miamala ya simu siyo jambo geni
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema kodi ya miamala ya simu sio jambo geni nchini kwani huduma ...Rais: Moto Kariakoo umesababisha hasara kubwa
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla na Wafanyabiashara wa Soko Kuu la ...