Biashara
Wafanyabiashara watakiwa kutoingia Soko la Kariakoo uchunguzi ukiendelea
Waziri Mkuu Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la Kariakoo ili ...Mchanganuo wa serikali ulipaji wa mirabaha kwa wasanii
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Hatimiliki Tanzania (COSOTA), Doreen Sinare amesema mara zoezi la ulipaji mirabaha litakapoanza watahakikisha kila aliechangia kufanikisha kazi ...Vyuo vya IFM na TIA vyatakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ya serikali
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamadi Yussuf Masauni, amekiagiza Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) na Chuo cha Uhasibu Tanzania ...Rais Samia akutana na bosi wa Barrick Gold, wazungumzia kampuni ya Twiga
Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow amemhakikishia Rais Samia Suluhu Hassan Samia Barrick Gold itaendelea kushirikiana na Serikali ...Wananchi watakiwa kuhakiki usajili laini za simu
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ametoa rai kwa wananchi kuendelea kufanya uhakiki wa laini za simu kwa ...Ripoti ya CAG yabaini madudu fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ...