Biashara
Jafo: Wamiliki bar, vilabu vinavyopiga kelele jela miezi 6 na kufungiwa biashara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo amewaagiza wamiliki wa kumbi za starehe na burudani kuhakikisha ...Tanzania yakanusha kuruhusu kilimo na matumizi ya bangi
Serikali imesema kuwa haijaruhusu matumizi na kilimo cha bangi, na hivyo kuwataka wananchi kujikita katika kilimo cha mazao mengine yenye tija. Msimamo ...Rais aiagiza BoT kujiandaa na matumizi ya sarafu za kimtandao (cryptocurrency)
Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka Benki Kuu ya Tanzania kujiandaa na matumizi ya safaru za kimtandao (cryptocurrecy/blockchain), kwani huenda ikafika wakati mabadiliko ...Serikali kuja na mpango wa kuirejesha Tanzanite Tanzania
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameeleza kutoridhika na usimamizi wa uchimbaji na uuzaji wa madini ya Tanzanite unavyofanyika, hivyo ameaigiza Wizara ...TAKUKURU: Tuhuma tatu zinazomkabili Manji
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imethibitisha kuwa inamshikilia mfanyabishara Yusuf Manji kwa mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili. Mkurugenzi Mkuu wa ...