Biashara
Serikali kuyafungulia magazeti ya Mawio, TanzaniaDaima, Mseto na Mwanahalisi
Serikali imeeleza kuwa inaendelea na mchakato wa kuyafungilia magazeti manne yaliyofungiwa ambayo ni Mseto, Mwanahalisi, Mawio na TanzaniaDaima ili yaweze kuendelea kuuhabarisha ...Sakata la LUKU: Waziri Mkuu awaongezea adhabu wafanyakazi TANESCO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi kwa Meneja wa TEHAMA wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Lonus Feruzi na wasaidizi wake ...COVID19: Rais Samia ataka nchi za Afrika kusamehewa madeni
Kutokana na athari za COVID19 katika uchumi wa nchi mbalimbali hasa za Afrika, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa ...Dar: Wafanyabiashara waliojenga vibanda katikati ya jiji watakiwa kuviondoa
Halamshauri ya Jiji la Dar es salaam imewataka wafanyabiashara waliojenga vibanda katikati ya jiji kuviondoa. Hayo yamejiri leo jijini Dar es salaam ...Kenya yaondoa sharti la vibali vya biashara kwa Watanzania
Serikali ya Kenya imewaruhusu Wafanyabiashara wa Tanzania kuingia nchini Kenya na kuwekeza bila sharti la kuwa na viza ya biashara, ikiwa ni ...