Biashara
Taarifa ya TANESCO kuhusu kukosekana huduma ya LUKU
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewaomba radhi wateja kutokana na hitilafu kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU iliyotokea leo Oktoba ...Ulipaji kodi kwa hiari waongezeka Tanzania
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya TZS trilioni 5.151 katika kipindi cha Julai hadi Septemba 2021, ikiwa ni ongezeko la 17.5% ikilinganishwa ...Kauli ya serikali kuhusu wafanyabiashara kuuza mahindi nje ya nchi
Serikali imesema haijazuia mfanyabiashara yeyote kuuza mazao yake nje ya nchi, na kwamba mkulima wa nchi hii wajibu wake ni kulima, kuvuna, ...Akauti 25 za ku-follow Twitter Tanzania (Oktoba – Disemba 2021)
Takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinaonesha kuwa idadi ya watumiaji wa huduma za intaneti nchini Tanzania imeongezeka kutoka milioni 26.8 ...Mbinu za kisayansi zilizotumika kusambaza mabango ya Imani, Upendo na Miujiza
Ni wazi kuwa kwa asilimia kubwa ya wakazi wa Dar es Salaam ama wameona mitaani au kwenye mitandao ya kijamii namna mabango ...Serikali kumulika kodi mashirika yasiyo ya kiserikali
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaandaa kitini ambacho kitatoa mwongozo wa jinsi mashirika yasiyo ya kiserikali yanayofanya kazi kwa ...








