Biashara
Ndugai amtwisha Makamba sakata la bei ya petroli
Spika wa Bunge wa Tanzania, Job Ndugai amemwagiza Waziri wa Nishati, January Makamba kuhakikisha anasimamia vizuri wizara hiyo na kutatua changamoto nyingi ...Mwonekano wa ndani ya ofisi ya Jay-Z
Willo Perron ni moja wa wabunifu wakubwa sana duniani, na kwa muda mrefu amefanya kazi na wasanii wengi hasa kwenye kubuni mitindo ...Mirabaha: Serikali yaanda mfumo wa kutambua nyimbo zinazochezwa redioni
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema mfumo utakaokuwa ukihesabu na kutambua nyimbo zinazochezwa katika vituo ...Uingereza yaipongeza Tanzania wa kuboresha haki za binadamu
Uingereza imeipongeza Tanzania kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, uwekezaji, haki za binadamu na utawala bora, jambo ambalo limeimarisha ushirikiano ...Takwimu: umaarufu wa Haji Manara katika mtandao wa Instagram waporomoka
Agosti 24 mwaka huu habari kubwa iliyogonga vichwa vya habari katika sekta ya michezo ni ‘usajili’ wa Haji Manara kwenda Yanga, zikiwa ...Wafanyabiashara waruhusiwa kuingiza mbolea kukabili upungufu
Serikali imekiri kuwa kuna upungufu wa mbolea kwa ajili ya shughuli za kilimo nchini na kusema kama mkakati wa muda mfupi wamewaruhusu ...









