Biashara
Serikali yaagiza kuchukuliwa hatua wafanyabiashara ambao hawajaboresha mashine za EFD
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Dkt Edwin Mhede amesema mamlaka hiyo haitaongezi muda wa wafanyabiasha kuboresha mashine za EFD ...TBS yatakiwa kuweka mazingira mazuri kwa sekta binafsi kufanya biashara
Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe amewataka wafanyakazi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kufanya kazi kwa weledi ili kusaidia na ...TCRA na TRA zatakiwa kukusanya mapato ya wasanii kupitia mtandao
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,, Innocent Bashungwa ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutumia teknolojia katika ukusanyaji mapato kwa njia ...Waziri Ummy atoa miezi mitatu vifungashio vya plastiki kuondolewa sokoni
Serikali imetoa miezi mitatu kwa wenye shehena ya vifungashio visivyokidhi viwango vya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) vinaondolewa sokoni. Agizo hilo limetolewa ...WhatsApp yaleta vigezo vipya vya lazima, wanaovikataa kuzuiwa kuitumia
Mtandao wa WhatsApp imewataka watumiaji wake, takribani bilioni mbili duniani kote, kukubali vigezo (terms) vipya vya kutumia programu hiyo, ambavyo vitaiwezesha programu ...Bei ya petroli yapungua, dizeli na mafuta ya taa zapanda
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei ...