Burudani
Yanga yagoma kucheza Dabi, yasema mamlaka za soka chini zinatenda dhulma
Baada ya kesi Yanga SC kutupiliwa mbali na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), Uongozi wa klabu hiyo umesema msimamo ...Serikali yaagiza Uwanja wa Mkapa ukamilike kufikia Mei 10
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kuhakikisha maeneo muhimu ...Rema: Wazazi wa Nigeria hawawakemei watoto wanaochangia kipato kwenye familia
Msanii nyota wa muziki nchini Nigeria, Divine Ikubor maarufu kama Rema, amesema kuwa wazazi wa Nigeria mara nyingi hufumbia macho maamuzi ya ...Trump: Nitakuwa mkarimu sana kwenye mazungumzo ya kibiashara na China
Donald Trump amesema anapanga kuwa mkarimu sana kwa China katika mazungumzo yoyote ya kibiashara, na kwamba ushuru wa forodha utapunguzwa endapo mataifa ...Miss Tanzania Tracy Nabukeera atangaza kutoshiriki mashindano ya Miss World
Miss Tanzania mwaka 2023, Tracy Nabukeera ametangaza kuwa hatoshiriki Mashindano ya Miss World 2025. Kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa kijamii, amesema ...Yanga yasema haiko tayari kupangiwa Derby siku nyingine
Uongozi wa Yanga SC umesema mchezo uliopanga kuchezwa leo dhidi ya Simba SC saa 1:15 usiku uko pale pale na hakuna mabadiliko ...