Burudani
Serikali yaagiza Uwanja wa Mkapa ukamilike kufikia Mei 10
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kuhakikisha maeneo muhimu ...Rema: Wazazi wa Nigeria hawawakemei watoto wanaochangia kipato kwenye familia
Msanii nyota wa muziki nchini Nigeria, Divine Ikubor maarufu kama Rema, amesema kuwa wazazi wa Nigeria mara nyingi hufumbia macho maamuzi ya ...Trump: Nitakuwa mkarimu sana kwenye mazungumzo ya kibiashara na China
Donald Trump amesema anapanga kuwa mkarimu sana kwa China katika mazungumzo yoyote ya kibiashara, na kwamba ushuru wa forodha utapunguzwa endapo mataifa ...Miss Tanzania Tracy Nabukeera atangaza kutoshiriki mashindano ya Miss World
Miss Tanzania mwaka 2023, Tracy Nabukeera ametangaza kuwa hatoshiriki Mashindano ya Miss World 2025. Kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa kijamii, amesema ...Yanga yasema haiko tayari kupangiwa Derby siku nyingine
Uongozi wa Yanga SC umesema mchezo uliopanga kuchezwa leo dhidi ya Simba SC saa 1:15 usiku uko pale pale na hakuna mabadiliko ...Prof. Kabudi aufuta uongozi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi ameufuta Uongozi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) baada ya ...