Burudani
Yanga yasema haiko tayari kupangiwa Derby siku nyingine
Uongozi wa Yanga SC umesema mchezo uliopanga kuchezwa leo dhidi ya Simba SC saa 1:15 usiku uko pale pale na hakuna mabadiliko ...Prof. Kabudi aufuta uongozi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi ameufuta Uongozi wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) baada ya ...Jay-Z amfungulia kesi mwanamke aliyemtuhumu kwa ubakaji
Mwanamuziki Jay-Z amemshitaki mwanamke aliyefuta kesi aliyomtuhumu kwa ubakaji baada ya tuzo za MTV Video Music Awards za mwaka 2000 akiwa na ...Rais amzawadia milioni mbili Dullah Mbabe kwa mchango wake kwenye ngumi
Rais Samia Suluhu amempa zawadi ya shilingi milioni mbili bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe licha ya ...Jay-Z na Diddy wafutiwa kesi ya ubakaji wa binti wa miaka 13
Mwanamke anayejulikana kwa jina la Jane Doe mbaye alidai Sean ‘Diddy’ Combs na Jay-Z walimfanyia unyanyasaji wa kingono miaka 25 iliyopita, ameondoa ...Ally Kamwe, Mazanzala waitwa Kamati ya Maadili TFF
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imewapeleka kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Afisa Habari wa Yanga ...