Burudani
Serikali yafafanua bilioni 31 zitakavyotumika ukarabati Uwanja wa Mkapa
Serikali imefafanua kuwa ukarabati wa shilingi bilioni 31 utakaofanyika kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa chini ya kampuni ya Beijing Construction Engineering Group ...SBL imetumia bilioni 12 kwa wakulima wadogo, yajikita kuanzisha mradi wa kulima mtama Handeni
Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL), moja ya viwanda vikubwa vya bia nchini, iliyokamilisha mwaka wake wa fedha mwezi Juni, imebainisha kuwa ...KIBO GOLD Yarudi tena Kanda ya Kaskazini
Wakazi wa kanda ya mikoa ya kaskazini ya Arusha, Tanga, Manyara na Kilimanjaro wamekoshwa baada ya bia ya KIBO GOLD kurudi tena ...Mpiga kinubi aweka rekodi ya dunia Mlima Kilimanjaro
Mpiga kinubi maarufu kutoka nchini Ireland, Siobhan Brady ameweka rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kupiga kinubi kwa dakika 34 akiwa kileleni ...Filamu 5 za kali za kuangalia wikendi hii
Je, ratiba yako ya filamu wikendi hii ikoje? Kama bado hujui ni filamu gani nzuri ungalie basi usihofu, hizi ni filamu 5 ...Bondia Mayweather atumika katika kampeni za uchaguzi Zimbabwe
Bingwa wa zamani wa ndondi duniani, Floyd Mayweather amehudhuria mkutano wa kampeni ya kisiasa nchini Zimbabwe siku ya Alhamisi, ikiwa ni sehemu ...