Burudani
Rais wa FIFA aipongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu
Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ...Tanzania, Kenya na Uganda zawania uwenyeji AFCON 2027
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ...Kundi la Sauti Sol latangaza kutengana
Kundi la wanamuziki maarufu nchini Kenya lilioshinda tuzo nyingi, Sauti Sol, limetangaza ziara ya kimataifa ya kuwaaga mashabiki kabla ya kutengana kwa ...Rais Samia apandisha dau hadi milioni 20 kwa kila goli kwa Yanga
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza fedha za motisha kwa timu ya Yanga kutoka TZS milioni 10 hadi TZS milioni 20 kwa ...Serikali yapeleka mashabiki 55 wa Yanga Afrika Kusini
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imegharamia usafiri wa mashabiki 55 wa timu ya Yanga kwenda Afrika Kusini katika mchezo wa pili ...Ahmed: Wachezaji wanadai posho, ila sio sababu ya kufungwa
Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kuchelewa kwa madai ya posho za wachezaji katika michezo kadhaa si sababu ya timu ...