Burudani
Serikali: Watanzania wamechoka kuona Taifa Stars ikifungwa kila siku
Serikali imesema imeandaa mpango wa kusaka vipaji vya Watanzania kwenye maeneo yote ya nchi vitakavyoleta mabadiliko katika timu ya taifa kutokana na ...TPLB yavionya vilabu kuacha vitendo vya kishirikina uwanjani
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imezitaka klabu zote kuacha mara moja kufanya vitendo ...Ushindi dabo dabo na Parimatch
Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch mara baada ya kumaliza kufanya uzinduzi mkubwa wa kuidhamini Klabu ya Mbeya City inayoshiriki Ligi Kuu ...Kocha wa Taifa Stars aondolewa
Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limefikia makubaliano ya kumuondoa Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen kwenye benchi la ufundi pamoja na ...Cesar Manzoki atimkia China
Klabu ya Vipers Sports Club imethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Cesar Manzoki amekamilisha uhamisho wa kujiunga na klabu ya Dalian Pro FC inayoshiriki ...Ujumbe wa Karia kwa wanaoshindana na TFF
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema sheria zinazowaelekeza TFF kufungia watu zimetengenezwa na viongozi waliopita na ...