Burudani
Waziri Mkuu amwalika Rais wa CAF mechi ya Simba na Yanga
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuomba Rais wa CAF, Patrice Motsepe na wanachama wa CAF kuhudhuria katika mechi ya watani wa jadi, Simba ...Mandonga amjibu Kaoneka, sababu za kuwa maarufu
Bondia Karim Mandonga amemjibu bondia Shabani Kaoneka baada ya malalamiko aliyoyatoa kuhusu umaarufu anaoupata Mandonga licha ya kuwa yeye ndiye mshindi katika ...Kaoneka alalamika Mandonga kuwa maarufu kuliko yeye
Bondia wa ngumi nchini, Shabani Kaoneka amewalalamikia waandishi wa habari kuwa wanaegemea upande wa bondia Karim Mandonga na kumpa fursa mbalimbali licha ...Kizz Daniel akamatwa na Polisi
Msanii maarufu kutoka nchini Nigeria, Kizz Daniel amekatwa na Polisi kutokana na kutotumbuiza katika tamasha la ‘Summer Amplified’ lililofanyika Jumapili 7, 2022 ...Diamond alipwa TZS milioni 23 kwa dakika 1 katika mkutano wa Raila Odinga
Agosti 6 mwaka huu ilikuwa siku nzuri kwa msanii Diamond Platnumz kutoka Tanzania wakati mgombea Urais wa Kenya, Raila Odinga alipokuwa akijinadi ...Str8up waomba radhi kutoonekana kwa Kizz Daniel
Kampuni inayohusika na uandaaji wa matamasha ya burudani Str8up imewaomba radhi mashabiki na wadau wa burudani baada ya msanii maarufu kutoka Nigeria, ...