Burudani
Simba SC yataja sifa mbili kubwa za kocha wanayemhitaji
Baada ya aliyekuwa kocha wa klabu ya Simba SC kuiaga timu hiyo hivi karibuni, makocha zaidi ya 100 kutoka sehemu mbalimbali duniani ...Nigeria: Mume wa mwimbaji Osinach Nwachukwu ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Aliyekuwa mume na meneja wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nigeria, Peter Nwachukwu amehukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kukutwa na ...Rais Samia: Kombe la Dunia kutembezwa Tanzania kuna maana kubwa
Rais Samia Suluhu Hassan amewaomba Watanzania kutumia fursa zinazoletwa nchini kuitangaza na kuisemea vizuri Tanzania pamoja na kutumia fursa hizo kibiashira. Ameyasema ...Simba SC yavunja mkataba na kocha Pablo Franco
Klabu ya Simba imevunja mkataba na kocha wake mkuu, Pablo Franco Martin baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. Katika taarifa ...Yanga yaachana na Saido
Uongozi wa Klabu ya Young Africans (Yanga SC) imetoa shukrani zake za dhati kwa mchezaji Said Ntibazonkiza (Saido) ambaye amemaliza mkataba wake ...NEMC kuzishughulikia kumbi za starehe zinazopiga kelele usiku
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa onyo kali kwa baadhi ya wamiliki wa kumbi za starehe wanaondelea ...