Burudani
Shaffih Dauda afungiwa soka kwa miaka mitano, Gantala afungiwa maisha
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mjumbe wa mkutano mkuu wa TFF na mwanahabari Shaffih Dauda ...Video: Raila Odinga aachia wimbo kwa ajili ya kampeni zake
Magombea Urais nchini Kenya, Raila Odinga ametoa video ya wimbo alioshirikishwa, wakati kampeni za uchaguzi nchini humo zikishika kasi. Odinga ambaye ndiye ...Serekali kugharamia matibabu ya Prof. Jay
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali itagharamia gharama zote za matibabu ya aliyekuwa mbunge wa Mikumi, Mwanamuziki Joseph Haule, maarufu Professor ...Utafiti: Pombe zinasababisha mihemko ya kutaka kujamiiana
Licha ya Tanzania kuwa na Sheria ya Vileo na sheria nyingine ambatanishi, lakini matumizi holela ya pombe zenye asilimia kubwa ya ...Yanga yadai Simba ibabebwa Ligi Kuu
Klabu ya Soka ya Young Africans imeeleza kutoridhishwa na mwenendo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kuwemo makosa mbalimbali yanayofanywa na ...GSM yaeleza sababu ya kuvunja mkataba na TFF
Kampuni ya GSM imetangaza rasmi kujitoa katika udhamini mwenza wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya mkataba wao kwenda vibaya. Pia ...