Burudani
Mchanganuo wa serikali ulipaji wa mirabaha kwa wasanii
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Hatimiliki Tanzania (COSOTA), Doreen Sinare amesema mara zoezi la ulipaji mirabaha litakapoanza watahakikisha kila aliechangia kufanikisha kazi ...Jafo: Wamiliki bar, vilabu vinavyopiga kelele jela miezi 6 na kufungiwa biashara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo amewaagiza wamiliki wa kumbi za starehe na burudani kuhakikisha ...Diamond: Wakati mwingine tutashinda BET
Mwanamuziki Diamond Platnumz amewashukuru Watanzania kwa upendo na umoja waliomuonesha katika kipindi chote cha kuwania tuzo ya BET nchini Marekani. Diamond ametoa ...Kelvin John asajiliwa KRC Genk ya Ubelgiji
Mshambuliaji kinda wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’ (18) amesajiliwa na KRC Genk ya Ubelgiji kwa mkataba wa miaka mitatu, hadi mwaka 2024, ...Mwanamuziki Ismail Michuzi afariki dunia
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ismail Issa Michuzi (61) amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar ...Mawaziri, wabunge kujifunza kucheza gofu
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro ameahidi kuwashawishi mawaziri na wabunge kujifunza mchezo wa gofu kufuatia ombi la Balozi wa Ufaransa ...