Burudani
Rais Samia: Timu ya Olimpiki ya Tanzania ina viongozi wengi kuliko wachezaji
Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka Kamati ya Olimpiki kujitathmini na kuja na mkakati utakaowezesha kuongeza idadi ya washiriki katika mashindano mbalimbali tofauti na ...Kamwaga aeleza sababu za kuzushiwa kuwa amejiuzulu
Kaimu Afisa Habari wa Simba SC, Ezekiel Kamwaga amekanusha taarifa zilizozushwa kwamba amejiuzulu nafasi hiyo. Kupitia mitandao yake ya kijamii Kamwaga ameeleza ...Mo Dewji: Siwekezi Simba ili nipate faida
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, Mohammed Dewji amesema kuwa uwekezaji anaofanya katika klabu hiyo si ili apate faida, bali ni ...Mchanganuo wa serikali ulipaji wa mirabaha kwa wasanii
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Hatimiliki Tanzania (COSOTA), Doreen Sinare amesema mara zoezi la ulipaji mirabaha litakapoanza watahakikisha kila aliechangia kufanikisha kazi ...Jafo: Wamiliki bar, vilabu vinavyopiga kelele jela miezi 6 na kufungiwa biashara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo amewaagiza wamiliki wa kumbi za starehe na burudani kuhakikisha ...Diamond: Wakati mwingine tutashinda BET
Mwanamuziki Diamond Platnumz amewashukuru Watanzania kwa upendo na umoja waliomuonesha katika kipindi chote cha kuwania tuzo ya BET nchini Marekani. Diamond ametoa ...