Burudani
Thamani ya mikataba ya matangazo ya mpira katika nchi za Afrika
Mei 25, 2021, mpira wa miguu nchini Tanzania ilipiga hatua nyingine baada ya Azam Media Limited na Shirikisho la Mpira wa Miguu ...Bashungwa ataka wasanii kuwa na bima za afya
Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amehimiza wasanii nchini kuhakikisha wanamiliki bima za afya ambazo zitawasaidia wanapokuwa wagonjwa wakati ...Mashabiki Simba vs Yanga kurudishiwa tiketi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa ameagiza mashabiki 43,947 waliokata tiketi kwenye mchezo wa Simba SC na Yanga SC ...Majaliwa ataka wizara ieleze hatima ya waliolipa viingilio Simba vs Yanga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa haraka kuhusu lini mchezo wa Simba SC na ...Simba: Walichofanya Yanga ni usaliti kwa nchi na serikali
Klabu ya Simba imeeleza kusikitishwa na uamuzi wa wapinzani wao Klabu ya Yanga kuondoa timu uwanjani, na kwamba kitendo hicho ni sawa ...