Burudani
Zuchu apigwa marufuku kufanya muziki Zanzibar kwa miezi sita
Msanii maarufu wa kizazi kipya Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’ amefungiwa kufanya shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar kwa kipindi cha miezi sita ...Washindi 12 wa NMB MastaBata na wenza wao wapaa Afrika Kusini
WASHINDI 12 wa kampeni ya kuhamasisha matumizi yasiyohusisha pesa taslimu iliyoendeshwa na Benki ya NMB kwa miezi mitatu ‘NMB MastaBata – Halipoi’ ...Watu sita wakamatwa kwa tuhuma za mauaji ya rapa AKA
Polisi nchini Afrika Kusini inawashikilia washukiwa sita wa mauaji ya mwanamuziki maarufu, Kiernan Forbes, maarufu kwa jina la AKA, pamoja na rafiki ...Kocha wa Taifa Stars afungiwa na CAF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemfungia kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche mechi nane kufuatia kauli zake kuwa Morocco inaushawishi ...FIFA yaifungia Biashara United
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeifungia kusajili klabu ya Biashara United mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wake, Tayo Odongo. Taarifa ...Vikosi 10 vyenye wachezaji ghali zaidi AFCON 2023
Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), ambalo ni mashindano makubwa ya soka barani Afrika, limeanza nchini Ivory Coast. Mashindano haya ya heshima, ...