Burudani
Video: Profesa wa Money Heist akoshwa na waigizaji wa Nigeria walioiga tamthilia hiyo
Muigizaji nyota wa tamthilia ya Money Heist (Lacasa de Papel) Alvaro Morte maarufu Profesa ameonesha kukoshwa na kikundi cha wavulana kuoka nchini ...Wanamuziki Cheed na Killy wajitoa katika lebo ya Alikiba
Wanamuziki Rasheed maarufu Cheed na mwenzake Ally Omary maarufu Killy wametangaza kujiondoa chini ya lebo ya mwanamuziki Alikiba, Kings Music Records. Wasanii ...Zifahamu sababu kuu mbili za video kupunguziwa “views” YouTube
Tangu kuanzishwa kwake siku ya wapendanao (valentine’s day) mwaka 2005, YouTube umekuwa mtandao mashuhuri kwa wasanii, vyombo vya habari, taasisi za elimu ...Madam Ritta apewa siku 30 amlipe mshindi wa BSS 2019
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa Kampuni ya Benchmark Production inayoendesha mashindano ...Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo afanya kikao na msanii Chid Benz
Naibu Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza amwaahidi ushirikiano msanii wa bongofleva nchini Rashid Abdallah maarufu Chidbenz. Mheshimiwa Shonza ametoa ...Mbinu 24 za kuwa mtu mwenye ushawishi (influencer) katika mtandao wa Twitter
Makala hii fupi ihusuyo matumizi ya mtandao wa Twitter kwa wenye lengo la kuwa “influencers” nimeiandaa kwa kupitia majarida mbalimbali ya masoko ...